Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson
Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi
Umepakiwa na: Richard Samson
Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 17 Mwaka A
Zab.119:57,72,76-77,127-130,(K)97
Sheria yako naipenda mno ajabu; Sheria yako naipenda mno ajabu x2
1a. Bwana ndiye aliye fungu langu, nimesema kwamba nitayatii maneno yako.
b. Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.
2a. Nakuomba fadhili zako, ziwe faraja ziwe faraja faraja kwangu,
b. Sawasawa na ahadi yako, ahadi yako kwa mtumishi mtumishi wako.
3a. Rehema zako zinijie, rehema zako zinijie nipate kuishi;
b. Maana sheria yako, ni furaha ni furaha yangu furaha yangu.
4a. Ndiyo maana nimeyapenda, maagizo yako kuliko dhahabu dhahabu iliyo safi;
b. Maana nayaona, mausia yako yote kuwa ya adili kila njia ya uongo naichukia.
5a. Shuhuda zako ni za ajabu, ndiyo maana roho yangu imezishika;
b. Kufafanusha maneno yako, kwatia nuru kwatia nuru na kumfahamisha mjinga.