Ingia / Jisajili

Heri Walio Maskini Wa Roho

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 4 Mwaka A

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

 Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao, Maana ufalme wa mbinguni ni wao X2

1. Bwana huishika huishika kweli milele, huwafanyia hukumu walioonewa,

Huwapa wenye njaa wenye njaa  chakula; Bwana hufungua walio waliofungwa;

2. Bwana huwafumbua macho waliopofuka; Bwana huwainua walioinama;

Bwana huwahifadhi wageni; huwategemeza yatima na mjane.

3. Bwana huwapenda  huwapenda  wenye haki; bali njia ya wasio haki nayo huipotosha.

Bwana atamiliki atamiliki milele, Mungu wako, Ee Sayuni, kizazi hata kizazi Aleluya.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa