Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson
Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi
Umepakiwa na: Richard Samson
Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 19 Mwaka B
- Katikati Dominika ya 20 Mwaka B
- Katikati Dominika ya 21 Mwaka B
Onjeni mwone ya kuwa Bwana yu mwema Bwana yu mwema, Onjeni mwone ya kuwa Bwana yu mwema x2.
1. Nitamhimidi BWANA kila wakati, Sifa zake zi kinywani mwangu daima. Katika BWANA nafsi yangu itajisifu, Wanyenyekevu wasikie wakafurahi.
2. Mtukuzeni BWANA pamoja nami, Na tuliadhimishe jina lake pamoja, nalimtafuta BWANA akanijibu, Akaniponya na hofu zangu zote.
3. Wakamwelekea macho wakatiwa nuru, Wala nyuso zao hazitaona haya. Maskini huyu aliita, BWANA akasikia, Akamwokoa na taabu zake zote.
4. Malaika wa BWANA hufanya kituo, Akiwazungukia wamchao na kuwaokoa, Onjeni mwone ya kuwa BWANA yu mwema; Heri mtu yule anayemtumaini.