Ingia / Jisajili

Furahini Katika Bwana Siku Zote

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Majilio | Mwanzo

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 1 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 3 ya Majilio Mwaka A
- Mwanzo Dominika ya 3 ya Majilio Mwaka B
- Mwanzo Dominika ya 3 ya Majilio Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Furahini katika Bwana siku zote x2.

Tena nasema furahini, furahini, Tena nasema furahini, Bwana yu karibu x2

1. Upole wenu na ujulikane, na ujulikane na watu wote.

2. Msijisumbue kwa neno lolote bali katika kila neno, kwa kusali na kuomba.

3. Na amani ya Mungu ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika KristoYesu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa