Ingia / Jisajili

Ee Bwana Utuonyeshe Rehema Zako

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Majilio | Zaburi

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 15 Mwaka B
- Katikati Dominika ya 19 Mwaka A
- Shangilio Dominika ya 2 ya Majilio Mwaka B
- Shangilio Dominika ya 2 ya Majilio Mwaka A
- Shangilio Dominika ya 2 ya Majilio Mwaka B
- Shangilio Dominika ya 2 ya Majilio Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Zab.85:8-13,(K)7

Ee Bwana, utuonyeshe rehema (rehema) zako, Utupe wokovu, utupe wokovu, utupe wokovu wako x2.
1. Na nisikie atakavyosema Mungu Bwana,
Maana atawambia watu wake amani.
Hakika wokovu wake u karibu na wamchao,
Utukufu ukae katika nchi yetu.

2. Fadhili na kweli zimekutana,
Haki na amani zimebusiana.
Kweli imechipuka katika nchi,
Haki imechungulia kutoka mbinguni.

3. Naam, Bwana atatoa kilicho chema,
Na nchi yetu itatoa mazao yake.
Haki itakwenda mbele zake,
Nayo itazifanya hatua zake kuwa njia. 


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa