Ingia / Jisajili

Bwana Anakuja Awahukumu Mataifa-I

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 33 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana anakuja (anakuja) awahukumu mataifa kwa haki x2.

1. Mwimbieni Bwana zaburi kwa kinubi,
Kwa kinubi na sauti ya zaburi.
Kwa panda na sauti ya baragumu,
Shangilieni mbele za Mfalme, Bwana.

2. Bahari na ivume na vyote viijazavyo,
Ulimwengu, nao wanaokaa ndani yake.
Mito na ipige makofi,
Milima na iimbe kwa furaha mbele za Bwana.

3. Kwa maana Bwana, anakuja aihukumu nchi,
Atauhukumu ulimwengu kwa haki,
Na mataifa kwa adili.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa