Ingia / Jisajili

Ee Bwana Fadhili Zako Zikae Nasi

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Pasaka | Zaburi

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 1 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 29 Mwaka B
- Katikati Dominika ya 2 ya Kwaresma Mwaka A
- Katikati Dominika ya 5 ya Pasaka Mwaka A

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana (Ee Bwana), Ee Bwana (Ee Bwana) fadhili zako zikae nasi kama vile tulivyokungoja, kama vile tulivyokungoja wewe x2.

1. Kwa kuwa neno la Bwana lina adili,
Na kazi yake yote huitenda kwa uaminifu.
Huzipenda haki na hukumu,
Nchi imejaa fadhili za Bwana.

2. Tazama, jicho la Bwana li kwao wamchao,
Wazingojeao fadhili zake.
Yeye huwaponya nafsi zao na mauti,
Na kuwahuisha wakati wa njaa.

3. Nafsi zetu zinamngoja Bwana;
Yeye ndiye msaada wetu na ngao yetu.
Ee Bwana, fadhili zako zikae nasi,
Kama vile tulivyokugoja Wewe. 


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa