Ingia / Jisajili

Mbegu Nyingine Zikaanguka Kwenye Udongo Mzuri

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 15 Mwaka A

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Zab.65:9-13, (K)Lk.8:8
Mbegu nyingine zikaanguka kwenye udongo mzuri kwenye udongo mzuri; zikamea zikamea zikazaa, zikamea zikazaa

1. Umeijilia nchi na kuistawisha,
Mto wa Mungu umejaa maji,
Wawaruzuku watu nafaka.
Maana ndiwe uitengenezaye ardhi.

2. Matuta yake wayajaza maji,
Wapasawazisha palipoinuka,
Wailainisha nchi kwa manyunyu;
Waibariki mimea yake.

3. Umeuvika mwaka taji ya wema wako;
Mapito yako yadondoza unono.
Huyadondokeza malisho ya nyikani.
Na vilima vyajifunga furaha. 

4. Na malisho yamevikwa kondoo,
Na mabonde yamepambwa nafaka.
Yanashangilia, naam, yanaimba.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa