Ingia / Jisajili

Wema wa Mungu

Mtunzi: Sebastian Don Ndibalema
> Mfahamu Zaidi Sebastian Don Ndibalema
> Tazama Nyimbo nyingine za Sebastian Don Ndibalema

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Sebastian Ndibalema

Umepakuliwa mara 957 | Umetazamwa mara 3,240

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Nimetambua ya kwamba Mwenyezi Mungu ni mwema sana - Nimetambua ya kwamba Mungu ni mwema

Nimetambua ya kwamba Mungu wetu ana huruma - Nimetambua ya kwamba Mungu ni mwema

Yote tuliyo-nayo ame-tupa yeye - Nimetambua ya kwamba Mungu ni mwema

Uhai wetu na riziki atupa bure bila gharama - Nimetambua ya kwamba Mungu ni mwema

1. Anatupenda Mungu anatupenda sana, anatujali Mungu anatujali sana. Ukitafakari utaliona hilo

2. Katika shida yeye ni kimbilio letu, kwenye majo-nzi yeye ni mfariji wetu. Mwingi wa huruma, amejaa fadhili

3.Tukimuomba yeye anatupa baraka, tunapotu-bu yeye hutusamehe dhambi. Na anatulinda usiku na mchana


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa