Ingia / Jisajili

Ninakushukuru Bwana Mungu

Mtunzi: Faustini F.Mganuka
> Mfahamu Zaidi Faustini F.Mganuka
> Tazama Nyimbo nyingine za Faustini F.Mganuka

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Mwaka Mpya | Shukrani

Umepakiwa na: Faustini Mganuka

Umepakuliwa mara 5 | Umetazamwa mara 8

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO

Ninakushukuru Bwana Mungu wangu (Mungu wangu) kwa yote uliyonijalia Mimi. 

Nimeona wema wako na utukufu wako, nakurudishia sofa zako Mungu mwenye nguvu.

SHAIRI

1. Japo Mimi ni mdhambi Bwana wanijalia afya, Hilo ni fumbo kuu la nifanya nikusifu Daima

2. Wanijalia riziki kila nifanyapo juhudi, hata ninapokosa sitaacha kukutumainia

3. Unanisamehe dhambi Bwana kila ninapokukosea ninapata kitubio ili nipatanishwe na wewe



Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa