Mtunzi: Elgious Xavery Mwanisawa
> Mfahamu Zaidi Elgious Xavery Mwanisawa
Makundi Nyimbo: Sadaka / Matoleo
Umepakiwa na: Elgious Xavery Mwanisawa Mwanisawa
Umepakuliwa mara 3 | Umetazamwa mara 6
Download Nota Download MidiNAKUJA
NA ZAWADI MKONONI
Elgious
X. Mwanisawa (Mwaniex)
04
May 2025
Nakuja mbele yako Baba
nipokee. Nakuja na zawadi mkononi
x2. Ninaomba baraka, nibariki mimi,
nipate tena na ya ziada x2.
1. Nakushukuru juma zima, ulinibariki Ee Mungu
wangu;
Naleta
kwako ninaomba uikubali na uibariki.
2. Uipokee
kama vile, ya Abrahamu nayo ya Abeli;
Tazama
mimi bila wewe, siwezi kuwa na kitu chochote.
3. Nimiminie
na neema, na kazi zangu uzipe baraka;
Nipe na
nguvu ya- mwili, nifanye kazi ulivyoagiza.