Mfahamu Elgious Xavery Mwanisawa, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Dodoma Parokia ya Nkuhungu
Idadi ya nyimbo SMN: 1 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: Dodoma
Parokia anayofanya utume: Nkuhungu
Namba ya simu: 0627 847 660
Soma Historia na maelezo yake hapaWasiliana na mtunzi kwa email:
Jina: Elgious Xavery Mwanisawa alizaliwa 16 February 1974 huko Sumbawanga. Elimu ya musiki niliipata Tabora Boys Sec School kisha kujiendeleza mwenyewe. Amewahi kuhudumu kama mwalimu wa kwaya Kizuka - Ngerengere, vingunguti, Mwenge - DSM na Kifuru - Kinyerezi.