Ingia / Jisajili

Kisha Nikasikia Sauti Ya Bwana

Mtunzi: Erick Mwaniki
> Tazama Nyimbo nyingine za Erick Mwaniki

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Miito | Shukrani

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 133 | Umetazamwa mara 507

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
KISHA NIKAISIKIA SAUTI YA BWANA (Kisha nikaisikia, sautiya Bwana akisema, nimtumenani, nayeninani, nimtumenani, nayeninani, atakayekwendakwaajiliyetu) *2 (Ndiponiliposemamimihapanitume, ndiponiposema, nikasemamiminitume) *2 1. Tazamanimekujakuyafanyamapenziyako, eeMunguwangu, ndiyofurahayangu, naam, sheria yakoimomoyonimwangu 2. NimehubiriHabari za hakikatikakusanyikokusanyikokubwa, sikuizuiamidomoyangu, ee Bwana unajua 3. Sikuisitirihakiyakomoyonimwangu, nimetangazauaminifuwakonawokovuwako Sikufichafadhiliyakowalakweliyakokatikakusanyikokusanyiko kubwa.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa