Maneno ya wimbo
Hii ni karamu ya Bwana Yesu anatuita ni karamu yenye heri na uzima wa milele X2Mwili wake ni chakula na damu yake ni kinywaji tujongee meza yake (Bwana) kushibisha roho zetu anatualika sote kwa karamu takatifu X21. Yesu mwenyewe anatulisha mwili wake mwili wake ni chakula kinachoshibisha roho zetu2. Yesu mwenyewe anatunywesha damu yake damu yake ni kinywaji safi cha uzima wa milele3. Tukampokee hakika Yesu yupo hapa ni mzima katika maumbo haya ya mkate na divai4. Tukampokee kwa imani na kwa uchaji anatujalia neema ya utakaso nafsini mwetu
Nyimbo nyingine za mtunzi huyu