Ingia / Jisajili

Heri Waendao Katika Sheria Ya Bwana

Mtunzi: Sebastian Shija (bastiany)
> Mfahamu Zaidi Sebastian Shija (bastiany)
> Tazama Nyimbo nyingine za Sebastian Shija (bastiany)

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Sebastian Shija

Umepakuliwa mara 17 | Umetazamwa mara 29

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 6 Mwaka A

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Heri waendao katika sheria ya Bwana x2 1.Heri walio kamili njia zao, waendao katika sharia ya Bwana. Heri wazitiio shuhuda zake, wamtafutao kwa moyo wote. 2. Wewe umetuamuru mausia yako, ili sisi tuyatii sana/ Ningependa njia zangu ziwe thabiti, nizitii amri zako 3. Umtendee mtumishi wako ukarimu, nipate kuishi, nami nitalitii neno lako/ Unifumbue macho yangu niyatazame, maajabu yatokayo katika sheria yako 4. Ee Bwana unifundishe njia ya amri zako, nami nitaishika hata mwisho/ Unifahamishe nami nitaishika sheria yako, naamnitaitii kwa moyo wanguwote.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa