Ingia / Jisajili

Ee Bwana Fadhili Zako Ni Za Milele

Mtunzi: Elias William Mtemi (Ewimu)
> Mfahamu Zaidi Elias William Mtemi (Ewimu)
> Tazama Nyimbo nyingine za Elias William Mtemi (Ewimu)

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Elias William Mtemi (Ewimu)

Umepakuliwa mara 1 | Umetazamwa mara 0

Download Nota
Maneno ya wimbo

                     Kiitikio

Ee Bwana Fadhili zako, ni za Mile-le, Usiziache kazi za mikono yako x2

             Mashairi

1.Nitakushukuru kwa moyo wangu wote, mbele ya miungu nitakuimbia Zaburi.

2.Nitakushukuru kwa jina lako, fadhili zako na uaminifu wako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa