Ingia / Jisajili

Amefufuka Mwokozi Twimbe Aleluya

Mtunzi: Emanuel Chisunga Kasebe
> Mfahamu Zaidi Emanuel Chisunga Kasebe
> Tazama Nyimbo nyingine za Emanuel Chisunga Kasebe

Makundi Nyimbo: Pasaka

Umepakiwa na: Emanuel Kasebe

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

AMEFUFUKA MWOKOZI TWIMBE ALELUYA

KIITIKIO

Leo asubuhi na mapema, Amefufuka mwokozi Twimbe Aleluya, Ametangulia Galiya Amefufuka Mwokozi Twimbe Aleluya.

Yaliyotabiliwa leo (sasa) yametimia, Bwana amefufuka (kama) alivyosema.

Sasa nendeni upesi mkawaambie mataifa (wajue habari hizi) bwana amefufuka, Twimbe aleluya.

Mashairi

1. Yesu aliwaambia kuwa mwanawaadamu anakwenda kutiwa katika mikono ya watu, lakini siku ya tatu Bwana atafufuka.

2. Yote yaliyotabiliwa leo yametimia, mwokozi aliteswa aliuawa kabisa, lakini siku ya tatu bwana amefufuka.

3. Njoni tumshangilie Mungu kwa matendo haya, kajitoa sadaka kwa kufa msalabani, tuimbe tushangilie, Bwana amefufuka.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa