Ingia / Jisajili

Uniangalie Na Kunifadhili

Mtunzi: Joseph Rimisho
> Mfahamu Zaidi Joseph Rimisho
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Rimisho

Makundi Nyimbo: Mwanzo | Zaburi

Umepakiwa na: JOSEPH RIMISHO

Umepakuliwa mara 682 | Umetazamwa mara 2,536

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

             Uniangalie Ee Bwana na kunifadhili (mimi) maana mimi ni mkiwa pia na mteswa,

             (utazame teso langu na taabu yangu, unisamehe dhambi zangu Ee Mungu wangux2)

Mashairi

1. Macho yangu humwelekea Bwana daima, na yeye atanitoa miguu yangu, uniangalie Ee Bwana na kunifadhili.

2. Katika shida zangu unifanyie nafasi, na kunitoa katika dhiki zangu, utazame teso langu na taabu yangu.

3. Unilinde nafsi yangu na kuniponya, nisiaibike nakukimbilia, ukamilifu na unyofu zinihifadhi.

              


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa