Ingia / Jisajili

Siku Hii Ndiyo Aliyoifanya Bwana

Mtunzi: Respiqusi Mutashambala Thadeo
> Tazama Nyimbo nyingine za Respiqusi Mutashambala Thadeo

Makundi Nyimbo: Pasaka | Zaburi | Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: respiqusi mutashambala

Umepakuliwa mara 1,789 | Umetazamwa mara 5,429

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

SIKU HII NDIYO ALIYOIFANYA BWANA

Zab.118:1-2, 16-17, 22-23 (k) 24  na Respiqusi M. Thadeo

Siku hii ndiyo aliyoifanya Bwana, Tutashangilia, tutashangilia, tutashangilia na kuifurahia na kuifurahia x2

1. Aleluya, Mshukuruni Bwana kwakuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake ni za milele. Israeli na aseme sasa, Ya kwamba fadhili zake fadhili zake ni za milele.

2. Mkono wa kuume wa Bwana umetukuzwa, Mkono wa kuume wa Bwana hutenda makuu, Sitakufa sitakufa bali nitaishi. Nami nitayasimulia matendo ya Bwana.

3. Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni. Neno hili limetoka kwa Bwana Nalo ni ajabu machoni petu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa