Ingia / Jisajili

Siku Hii Ndiyo Aliyoifanya Bwana

Mtunzi: Michael Mbughi
> Mfahamu Zaidi Michael Mbughi
> Tazama Nyimbo nyingine za Michael Mbughi

Makundi Nyimbo: Pasaka | Zaburi

Umepakiwa na: Michael Mbughi

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Siku hii ndiyo aliyoifanya Bwana, tutaishangilia siku hii, nakuifurahia.

1. Mshukuruni Bwana kwakuwa ni mwema, maana fadhili zake za milele

2. Israel na aseme sasa, yakwamba fadhili zake za milele

3. Mkono wa kiume umetukuzwa, mkono wake Bwanahutenda makuu.

4. Sitakufa bali nitaishi, nitasimulia matendo ya Bwana

5. Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.

6. Neno hili limetoka kwa Bwana, nalo ni ajabu machoni petu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa