Ingia / Jisajili

Nitamwimbia Bwana

Mtunzi: F. Sheriela
> Mfahamu Zaidi F. Sheriela
> Tazama Nyimbo nyingine za F. Sheriela

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Pasaka | Shukrani

Umepakiwa na: Stanslaus Mkombo

Umepakuliwa mara 1,339 | Umetazamwa mara 3,413

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

NITAMWIMBIA BWANA                                         [F. Sheriela]

//Nitamwimbia Bwana, nitamwimbia Bwana, kwa maana ametukuka sana, Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini;

Bwana ni nguvu zangu na wimbo wangu, naye ni wokovu wa---ngu.//x2

Mashairi

 1. Yeye ni Mungu wangu, nami nitamsifu; [Ni Mungu wa baba yangu, nami nitamtukuza]x2.

2. Bwana ni mtu wa vi-ta, Bwana ndilo Jina lake; magari ya Farao / na jeshi lake, amewatupa baharini.

3. (III&IV) Maakida yake wateule wamezama katika Bahari ya Shamu; Vilindi vimewafunikiza, wamezama / vilindini kama jiwe.

Nyimbo nyingine za mtunzi huyu

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa