Mtunzi: Deogratius Matojo
> Mfahamu Zaidi Deogratius Matojo
> Tazama Nyimbo nyingine za Deogratius Matojo
Makundi Nyimbo: Zaburi
Umepakiwa na: Deogratius Didas
Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Mkesha wa Pasaka
Nitamwimbia Bwana kwa maana ametukuka sana.
1. Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini, Bwana ni nguvu zangu na wimbo wangu, naye amekuwa wokovu wangu.
2. Mkono wako wa kuume wawatesatesa adui zangu, kwa wingi wa ukuu wako wawaangusha chini waliokuondokea.
3. Nitamuhimidi Bwana kila wakati kinywani mwangu, nafsi yangu italisifu jina lake popote pale niendapo.