Ingia / Jisajili

Nitamwimbia Bwana

Mtunzi: Deogratius Matojo
> Mfahamu Zaidi Deogratius Matojo
> Tazama Nyimbo nyingine za Deogratius Matojo

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Deogratius Didas

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Mkesha wa Pasaka

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Nitamwimbia Bwana kwa maana ametukuka sana.


1. Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini, Bwana ni nguvu zangu na wimbo wangu, naye amekuwa wokovu wangu.


2. Mkono wako wa kuume wawatesatesa adui zangu, kwa wingi wa ukuu wako wawaangusha chini waliokuondokea.


3. Nitamuhimidi Bwana kila wakati kinywani mwangu, nafsi yangu italisifu jina lake popote pale niendapo.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa