Ingia / Jisajili

Nimrudishie Bwana

Mtunzi: Felician Albert Nyundo
> Tazama Nyimbo nyingine za Felician Albert Nyundo

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Eleuter Massawe

Umepakuliwa mara 4,603 | Umetazamwa mara 8,169

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio: Nimrudishie Bwana, nimrudishie Bwana nini kwa ukarimu wake wote Alionitendea? (Nitakipokea kikombe cha wokovu na kulitangaza jina la Bwana x2)

1.Nitaziondoa nadhiri zangu kwa Bwana/naam/mbele ya watu wake wote.

2.Ina thamani machoni pa Bwana/ mauti/ ya wacha Mungu wake.

3.Ee Bwana hakika mimi ni mtumishi wako/mwana wa mjakazi wako/umevifungua vifungo vyangu.

4.Nitakutolea dhabihu/ya kukushukuru/na kulitangaza jina la Bwana


Maoni - Toa Maoni

Andrew Kayombo May 12, 2020
Mtunzi huyu alitunga wimbo huu vizuri sana naomba muuweke na wimbo wake wa sauti yako nimesikia.

Toa Maoni yako hapa