Mtunzi: Reuben Maghembe
> Tazama Nyimbo nyingine za Reuben Maghembe
Makundi Nyimbo: Ubatizo
Umepakiwa na: Reuben Maghembe
Umepakuliwa mara 2 | Umetazamwa mara 4
Download Nota Download MidiChorus
Nimeona maji
yakitoka hekaluni,
Nimeona maji
yakitoka hekaluni.
Maji yenye
uzima,
Maji ya uzima.
Verse 1
Leo nimeoona
maji,
Maji ya uzima.
Maji yatokayo
hekaluni,
Nimeona maji
yakitoka hekaluni.
Verse 2
Bwana Yesu
alisema,
Yule anywaye
maji ya uzima,
Hatakuwa na kiu
tena,
Maana ni maji
ya uzima.
Verse 3
Maji yatakasayo
roho,
Kwa wote wenye
dhambi,
Ndiye Yesu
Kristo,
Chanzo cha maji
ya uzima.
Verse 4
Bwana Yesu
alisema,
“Njoo unywe
bila gharama”,
Maji ya uzima
milele,
Yatiririka
ulimwenguni.