Ingia / Jisajili

Nalifurahi Waliponiambia

Mtunzi: Erick Mwaniki
> Tazama Nyimbo nyingine za Erick Mwaniki

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Mwanzo | Shukrani

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 354 | Umetazamwa mara 1,275

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
NALIFURAHI WALIPONIAMBIA Nalifurahi waliponiambia, nalifurahi waliponiambia na twende nyumbani, nalifurahi waliponiambia na twende nyumbani mwa Bwana*2 1. Nalifurahi waliponiambia na twende nyumbani mwa Bwana miguu yetu imesimama ndani ya malango yako ee Yerusalemu 2. Ee Yerusalemu ulijengwaa kwa mji u lioshikamana, huko ndiko walipopanda panda kabila, kabila za Bwana 3. Ushuhuda kwa Israeli walishukuru jina la Bwana, maana huko viliwekwa viti vya hukumu, viti vya enzi vya mbari ya Daudi 4. Kwa ajili ya ndugu zangu na rafili zangu, niseme sasa, amani ikae nawe, kwa ajili ya nyumba ya Bwana Mungu wetu, nikutafutie nikutafutie mema

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa