Ingia / Jisajili

Mungu Wangu Mbona Umeniacha?

Mtunzi: Patrick Konkothewa
> Mfahamu Zaidi Patrick Konkothewa
> Tazama Nyimbo nyingine za Patrick Konkothewa

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Shukrani

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 33 | Umetazamwa mara 79

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Mungu Wangu, Mun gu Wangu, Mbona umeniacha?Mbona Umeniacha?x2. Mashairi: 1. Wote wanionao hunicheka sana, Hunifyonya, wakitikisa vichwa vyao/ Husema, umtegmee Bwana: na amponye;Na mwokoe sasa,maana apendezwa naye. 2. Kwa maana mbwa wamenizunguka;kusanyiko lawaovu, wamenisonga:/Yamenizua mikono na miguu, Naweza kuihesabu mifupa yangu yote. 3. Wanagawanya nguo zangu, Na vazi langu wanalipigia kura Nawe, Bwana usiwe mbali, Ee Mungu wangu,fanya haraka kunisaidia. 4. Nitalihubiri Jina lako kwa ndugu zangu,katikakati ya kusanyiko nitakusifu:/Ninyi mnaomcha Bwana,msifuni enyi nyote mlio wazao wa Yakobo mtukuzeni.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa