Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson
Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi
Umepakiwa na: Richard Samson
Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Mwili na Damu Takatifu ya Bwana Wetu Yesu Kristu Mwaka A
Msifuni Bwana, ee Yerusalemu, Msifuni Bwana, ee Yerusalemu, Msifuni Bwana, ee Yerusalemu x2
1. Msifu Bwana, Ee Yerusalemu;
Msifu Mungu wako, Ee Sayuni.
Maana ameyakaza mapigo ya malango yako,
Amewabariki wanao ndani yako.
2. Ndiye afanyaye amani mipakani mwako,
Akushibishaye kwa unono wa ngano.
Huipeleka amri yake juu ya nchi,
Neno lake lapiga mbio sana.
3. Humhubiri Yakobo neno lake
Na Israeli amri zake na hukumu zake.
Hakulitendea taifa lolote mambo kama hayo,
Wala hukumu zake hawakuzijua, Aleluya!