Ingia / Jisajili

Mimina Neema

Mtunzi: Bernard Mukasa
> Mfahamu Zaidi Bernard Mukasa
> Tazama Nyimbo nyingine za Bernard Mukasa

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Bernard Mukasa

Umepakuliwa mara 57,999 | Umetazamwa mara 109,307

Download Nota

Maoni - Toa Maoni

Anthony Dickson Jul 29, 2022
Ongera Sana

Lunanga Denis May 31, 2022
Hongera sana Kaka na Mungu ukubariki kwa kazi nzuri unayo. Alakini ni saidie na audio ya wimbo huu. Aksanti

Lunanga Denis May 31, 2022
Ongera sana Kaka na Mungu ukubariki kwa kazi nzuri unayo. Alakini ni saidie na audio ya wimbo huu. Aksanti

John Ribuu Oct 03, 2021
Hongera

PutinDow Jun 16, 2020
Putin - excel training - https://www.youtube.com/c/ExcelStore excel training excel courses excel lessons sql training sql courses sql lessons

charles Oct 08, 2019
pongezi kwa mtunzi wimbo mzuri nashukuru kwa wimbo wako

simon muchemi Sep 19, 2019
Pongezi kwa wimbo huu na maneno makuu ndani yake.Naomba kama uko na midi yake waweza ukasaidia sana. nashukuru

Josephat Manyange Aug 13, 2019
Nyimbo nzuri sana na Mungu Awabariki sana sana, na pia haibariki familia yenu nyote.

Justus Gregory Dec 07, 2018
Nimeufurahia sana wimbo huu........

Josph Ndimila May 12, 2018
Wimbo mzuri sana

modestus Apr 06, 2018
Pongeza, Kosoa.... Uwe mstaarabu

Joseph Chesoli Apr 02, 2018
Hongera kwa nyimbo nzuri kweli,mtunzi stadium,waimbaji wazuri pia.pongezi

Antony Patrick Jan 16, 2018
Kazi nzuri mwalimu, Mungu akubariki sana.

Kahindi-Misigah Nov 13, 2017
Mwalimu, Hongera kwa wimbo huu. Umenifariji sana.

Larry Paul Oct 21, 2017
kazi nzuri mwalimu sauti umezipanga vyema lakini nmependa alto zaidi,hongera.tamu saaaanaaa

George Sep 04, 2017
Hongera sana kaka kwa kazi nzuri sana.Tafadhari wakumbuke mashahidi wa Uganda kwa kutunga nyimbo zinazowakumbuka

ROBERT SIMONI Aug 24, 2017
kaka hongera sana nami nina ndoto za kuwa kama wewe ila bado sijaanza karibu kwetu kwaya ya mt yohane paulo wa pili parokia ya kristu mchungaji mwema

Victor Rono Aug 08, 2017
Hongera mwalimu, mungu akubariki

Odilon Cibanvunya Balundi Aug 05, 2017
Mungu akubariki sana

MICHAEL NZUKI Jul 26, 2017
Hongera mwalimu, naupenda sana wimbo huu

Edward Fulgence Jun 12, 2017
Hakika Mungu ahimidiwe ni Neema kubwa kwetu wainjilishaji w wa hali ya Chini ambalo hatukijaliwa karanga ya utunzi tunaweza kupata nyimbo za misa kupitia ukurasa huu

Antipas Alfred May 14, 2017
Kaka B. Mukasa ukweli Mungu amekupa kipaji cha pekee Nyimbo zako zinatubariki wengi kwa kifupi ni nzuri na pia umeleta mabadiliko makubwa katika uimbaji kwa Nyimbo za kikatoliki. Mungu akupe maisha marefu ili uendeleze Huduma hii.

Andrea Mhongole May 08, 2017
Hongera Kaka Karibu Kwetu Parokia Ya Nyololo Utuletee Baraka Ujichotee Neema Tele Tunakuombea Endelea Kuokoa Roho Zetu Kwa Nyimbo Zenye Utukufu

Emmanuel Kis Emedo Mar 03, 2017
Kwa wimbo huu nimepata faraja, kweli hongera kaka.

Emmanuel Kis Emedo Mar 03, 2017
Kwa wimbo huu nimepata faraja, kweli hongera kaka.

Emmanuel Kis Emedo Mar 03, 2017
Kwa wimbo huu nimepata faraja, kweli hongera kaka.

Emmanuel Kis Emedo Mar 03, 2017
Kwa wimbo huu nimepata faraja, kweli hongera kaka.

Emmanuel Kis Emedo Mar 03, 2017
Kwa wimbo huu nimepata faraja, kweli hongera kaka.

Emmanuel Kis Emedo Mar 03, 2017
Kwa wimbo huu nimepata faraja, kweli hongera kaka.

Emmanuel Kis Emedo Mar 03, 2017
Kwa wimbo huu nimepata faraja, kweli hongera kaka.

Linus S Shallo Feb 28, 2017
Mimina wimbo mtamu sana hongera ndg Mukasa kwa kazi nzuri na nyingine ninazozifaham

linus Ngunda Feb 11, 2017
Nakupongeza sana kaka hakika nyimbo zako zinasisimua na hakuna asizikubali, naomba sana mwenyenzi mungu akulinde uendelee kukuza muziki wa dini katika kanisa letu. naamini mungu atakufikisha pale unapopataka. Unafuata nyayo za waasisi wetu akina marehemu John Mgandu na wezake.

Amedeus p munishi Feb 01, 2017
Mungu mimina wengine kama Bernard mukasa . nimeipenda waaaoooo IPO poa sana

DAUDI AMOSI MLOWEZI Dec 27, 2016
poa anko nami naitaji niwe kama wewe na sasa nipo najiandaa ,,,,karibu sana msia kwenye kwaya ya mt.sesilia ,,,,,tutembelee na sisi tufarijike

daudi amosi mlowezi Dec 27, 2016
aise tuombee na sisi tufikie kiwango chako

peter mrema Dec 13, 2016
kwa kweli mungu akubariki kwa utungaji wako ninapenda sana nyimbo unazotunga mungu akutangulie

timothy mbugua Dec 07, 2016
Mwalimu nyimbo zako no saw a sana... yani zinapendeza.

Donbosco Dec 06, 2016
Hongera sana mwalimu mungu akubariki

Gabriel Nov 28, 2016
Hongera kwa mtunzi kwa ustadi katika utunzi. Naomba wimbo huo urekebishwe kwenya staff ya sauti ya tatu na nne. Zile rest za full bar hazifai kula mahala pale. Asante.

costantine Nov 08, 2016
Pongeza, Kosoa.... Uwe mstaarabu hongera kaka mungu akuzidishie hekima nyingi sana Niko nyuma yako nakuja mt kizito juu

rodrick alfred Nov 08, 2016
Hongera Mwalimu kwa utunzi Wa nyimbo nzuri mwenyezi mungu akubariki.MAKUBURI juu zaidi

Mutie Nov 02, 2016
hongera mwalimu nyimbo zako zanigusa na kunifariji nafsi. mashairi yako ni mufti kabisa.

deusdedith kweka Oct 28, 2016
Hakika Mwenyezi Mungu amekubariki kwa kipaji cha utunzi kwani nyimbo zako kila zinapoimbwa hupendwa sana. Hongera sana kaka....ni imani yangu kuwa walimu wa muziki waliopita kwako wanafuata nyayo zako....kuna mwalimu namuona ana kasi Mr Mabogo wa JMC tunamuombea na wengine wote wafikie malengo yao

gregrory Oct 23, 2016
hongera ndg B. Mukasa yote na katika yote mwanadam aokoke na mungu atukuzwe amina.

Antidius tibaijuka Oct 21, 2016
Nakupongeza mwl Benard mukasa kwakweli nyimbo zako zinanibariki saana,naomba pia mwl uniwekee wimbo mimina neema kwenye Whatsap nom.0754321467.namba ya ofice ya parokia Rwamishenye ambayo mimi naudumu kama mwl mkuu wa Shikwaka na mwl.wa St.JOSEPHINA BAKHTA.

lazaro sekwao Sep 25, 2016
Kwanza kabisa tumsifu Yesu kristo!! Aiseh mungu akuzidishie zaidi maana hii kazi imetisha sana kiufupi yaaani unanipa matumaini kwa kutamani kuwa kama wewe siku moja barikiwa sana kaka mukasa

sammy Ikua Sep 21, 2016
Hongera mwalimu Bernard, umetufunza mengi kupitia utunzi wako. Tunauenzi utunzi wako. U mfano mwema na ila siku twasoma kutoka kwako. Mungu akubariki kwa kazi yako nzuri

SEBASTIAN WALIPAMILA Sep 17, 2016
MUNGU AKUBARIKI SANA KARIBU IFUNDA IRINGA KWAYA YA MT,SECILIA IFUNDA.

SEBASTIAN WALIPAMILA Sep 17, 2016
Yaan mungu akubarki Mungu amimine mpaka kws mwanangu Anwarite,

james hadike Sep 14, 2016
sina neno juu ya huyu jamaaa salute kwako

Gasto mathew Sep 12, 2016
pongezi sana,kupitia uimbaji wenu nami nimehamasika kua mwanakwaya ,na sasa nimeshajifunza music wa nota,Jana nimenunua kinanda changu ili niweze kujifunza kinanda,

simon lm Aug 24, 2016
niungane na wenzangu.....am speechless,bravo sana

cassian mbele Aug 24, 2016
Hongera kaka na mungu akuzidishi pia nakuomba uje usaidie kuinua kwaya yangu has a kiuimbaji hapa Igunga tabora parokia ya bongomela

sylvester latama Aug 22, 2016
Pongezi sana mwalimu Bernard Mukasa, ama kweli utunzi wako umebobea. Huu wimbo unagusa, unafudisha unashauri, barikiwa sana kwa kazi hii nzuri.

Jodaki mchina Aug 08, 2016
Hongeraa kaka tupo nyuma tunajaribu kukufukuzia

Jodaki mchina Aug 08, 2016
Hongeraa kaka tupo nyuma tunajaribu kukufukuzia

Francisco Aug 06, 2016
Hongera bwana mkubwa wimbo huu umenigusa mpaka kwenye kilindi cha moyo. Ama kweli Roho wa Mungu alikuwa pamoja nawe katika utunzi wa wimbo huu,...dah barikiwa sana Mukasa

pius rocky manyangu Jul 30, 2016
Ukweli ni kwamba nyimbo hii br.mkasa imesimamia kucha tatizo wafundishaji ndipo shida hongera mkuu.pamoja sana kwa sasa nipo mwanza parokia ya nyakato.baada ya kutoka kmj.arusha misa ya kwanza.mungu yu nawe.

Francis CMM Jul 27, 2016
Nabarikiwa sana na kazi nzuri zisizo na kifani za Kaka B.Mukasa akishirikiana na timu yake hususani Wana wa Mt.Kizito katika kumtangaza Kristu. You are really the legendary of our ages!

Francis CMM Jul 27, 2016
Nabarikiwa sana na kazi nzuri zisizo na kifani za Kaka B.Mukasa akishirikiana na timu yake hususani Wana wa Mt.Kizito katika kumtangaza Kristu. You are really the legendary of our ages!

John Githuka Jul 26, 2016
Hongera sana kaka Mukasa. Wimbo huu umetisha !!

John Githuka Jul 26, 2016
Hongera sana kaka Mukasa. Wimbo huu umetisha !!

Sajilo Julius Mark Sj Jul 25, 2016
KWA kweli teacher you are so inspiring really for me this song is so nice and I feel blessed by listening it. In addition the song Wewe ni Mungu really it has touched my heart may God continue to give you more wisdom to compose more songs that really please God when they are sang and above all transform our hearts and pray by our hearts.

innocent Bagoka Jul 23, 2016
Mkuu huu wimbo sina chakusema zaidi yakukupongeza kwa tafakari hii Takatifu, Mungu azidi kukupa afya njema Neema bado tunazitarajia ziendelee kumiminika well done brothe

innocent Bagoka Jul 23, 2016
Mkuu huu wimbo sina chakusema zaidi yakukupongeza kwa tafakari hii Takatifu, Mungu azidi kukupa afya njema Neema bado tunazitarajia ziendelee kumiminika well done brothe

Dalmatius Dominick Jul 22, 2016
Bro..... hiyo ngoma ni sumuuuuuu yaanii imetishaa kuanzia audio mpk video aisee ni hatareeee hogera sana mkuu niombee na mimi cku moja nitengeneze amazing kama hyo

John Mremi Jul 22, 2016
Wimbo mzuri Sana, hongera mkuu

solomoni kevin Jul 21, 2016
hongera kaka kwa wimbo huu.

Toa Maoni yako hapa