Ingia / Jisajili

Maombi yangu yafike

Mtunzi: Christian Benedict Nkonya (Chribenko)
> Mfahamu Zaidi Christian Benedict Nkonya (Chribenko)
> Tazama Nyimbo nyingine za Christian Benedict Nkonya (Chribenko)

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Mika Wihuba

Umepakuliwa mara 352 | Umetazamwa mara 1,799

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 32 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Maombi yangu yafike mbele zako Ee BWANA wangu, uutegee ukelele wangu, sikio lako Ee BWANA x2

1:Maana nafsi yangu imeshiba, imeshiba taabu, nao uhai wangu umekaribia kuzimu.

2:Nimehesabiwa pamoja, nawashukao shimoni, nimekuwa kama mtu asiye na masaada.

3:Nimetupwa miongoni mwao, wale walokufa, kama walio lala usingizi makaburini.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa