Ingia / Jisajili

Maombi yangu yafike

Mtunzi: Christian Benedict Nkonya (Chribenko)
> Mfahamu Zaidi Christian Benedict Nkonya (Chribenko)
> Tazama Nyimbo nyingine za Christian Benedict Nkonya (Chribenko)

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Mika Wihuba

Umepakuliwa mara 503 | Umetazamwa mara 1,736

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 32 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Maombi yangu nayafike mbele yako (Ee Bwana) uutegee ukelele wangu sikio lako Ee Bwana x2.

1:Maana nafsi yangu imeshiba taabu, na uhai wangu umekaribia kuzimu.

2:Umenifanya BWana kuwachukizo kwao, nimefungwa wala siwezi kutoka.

3:Jicho langu limefifia kwa mateso, Bwana wangu nimekuita unisaidie.




Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa