Ingia / Jisajili

Malaika wa Bwana

Mtunzi: F. C. Mabogo
> Mfahamu Zaidi F. C. Mabogo
> Tazama Nyimbo nyingine za F. C. Mabogo

Makundi Nyimbo: Miito | Watakatifu | Zaburi

Umepakiwa na: Fredrick Charles

Umepakuliwa mara 1,118 | Umetazamwa mara 2,826

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo


KIITIKIO


Malaika wa Bwana, ( Wa Bwana Malaika) Awaokoa wamchao (wamchao) Awaokoa wamchao*2



1.      a. Nitamhimidi Bwana kila wakati, Sifa sifa zake zikinywani mwangu daima,

b. Katika Bwana nafsi yangu itajisifu, wanyenyekevu wasikie wakafurahi

2.      a. Mtukuzeni Bwana pamoja name, Na tuliadhimishe jina lake pamoja,

b. Nalimtafuta Bwana wangu akanijibu, akaniponya na hofu zangu zote

3.      a. Wakamwelekea macho wakati wa nuru, wala nyuso zao hazitaona haya,

b. Maskini huyu aliita Bwana akasikia, Akamwokoa na taabu zake zote

4.      a. Malaika wa Bwana hufanya kituo, Akiwazungukia wamchao na kuwaokoa,

               b. Onjeni mwone yakuwa Bwana yu mwema, Heri mtu yule anayemtumaini

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa