Ingia / Jisajili

Kama Mwali Wa Moto Nakutumainia

Mtunzi: Thomas J.Yotham
> Mfahamu Zaidi Thomas J.Yotham
> Tazama Nyimbo nyingine za Thomas J.Yotham

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Thomas Yotham

Umepakuliwa mara 7 | Umetazamwa mara 11

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

WIMBO WA JUBILEI

Kama mwali wa moto tumaini langu linawaka, wimbo wangu huu ukufikie: Chanzo cha uzima usio na mwisho, kwenye safari ya maisha nakutumainia.

Kila lugha, watu na Taifa, tunapata nuru katika Neno lako. Wana na Mabinti wanyonge waliotawanyika wanakusanywa kwa Mwanao mpendwa.

Ee Mungu, mpole na mvumilivu sana, ututazame sote: yazaliwe mapambazuko ya matumaini mapya. Mbingu na dunia zifanyike upya: pitisha ngome Roho wa uzima..

Inua macho yako, songa kwa upepo, kaza mwendo, Mungu anakuja, kwa wakati. Mtazame Mwana aliyefanyika mtu: maelfu kwa maelfu wanapata uzima.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa