Ingia / Jisajili

Heri Kila Mtu Amchaye Bwana

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Familia Takatifu

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Heri (Heri) heri (heri) heri kila mtu, amchaye Bwana,
aendaye katika njia zake x2.

1. Heri kila mtu amchaye Bwana,
Aendaye katika njia zake
Taabu ya mikono yako hakika utaila;
Utakuwa heri, na kwako kwema.

2. Mkeo atakuwa kama mzabibu uzaao,
Vyumbani mwa nyumba yako.
Wanao kama miche ya mizeituni
Wakiizunguka meza yako.

3. Tazama, atabarikiwa hivyo, yule amchaye Bwana,
Bwana akakubariki toka Sayuni.
Uone uheri wa Yerusalemu.
Siku zote za maisha yako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa