Ingia / Jisajili

Ee Bwana Unifadhili

Mtunzi: Frt. Aidanus Chimazi
> Mfahamu Zaidi Frt. Aidanus Chimazi
> Tazama Nyimbo nyingine za Frt. Aidanus Chimazi

Makundi Nyimbo: Mwanzo

Umepakiwa na: Aidanus Chimazi

Umepakuliwa mara 2 | Umetazamwa mara 9

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 22 Mwaka A
- Mwanzo Dominika ya 22 Mwaka B
- Mwanzo Dominika ya 22 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Ee Bwana unifadhili,kwa maana nakulilia wewe, nakulilia wewe mchana kutwa. 1. Kwa maana wewe Bwana umekuwa tayari kusamehe, na wingi wa fadhili kwa watu wote. 2. Siku ya mateso yangu nitakukimbilia wewe Bwana kwa maana utaniitikia

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa