Maneno ya wimbo
BWANA TWAKUOMBA UPOKEE VIPAJI VYETU (KWELI) (SISI) x2 TUNAVYOKUTOLEA (LEO) NISHUKURANI ZETU (BWANA) TWAKUOMBA BWANA UVIPOKEE x2. FINE 1. Tunavileta vipaji vyetu .kwako e Bwana Mungu wetu.twakuomba upokee Bwana.uvibariki Bwana uvitakase.2.Mazao yamashambani mwetu .tunaya letata kwako Bwana na mkate na divai Vyote uvibariki Bwana uvitakase. 3.Nafedha zamifukoni mwetu . Tunazileta kwako Bwana Tunakuomba e Bwana uzipokee Bwana uvibariki. 4.Tunazileta na nafsi zetu .kwako e Bwana Mungu wetu.tunakuomba e Bwana uzibariki Bwana ututakase.
Nyimbo nyingine za mtunzi huyu