Ingia / Jisajili

Bwana Ninakuomba

Mtunzi: Alcado Z . Mtanduzi
> Tazama Nyimbo nyingine za Alcado Z . Mtanduzi

Makundi Nyimbo: Miito

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 529 | Umetazamwa mara 2,436

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana ninakuomba  niongoze kwa neema zako nitende utakavyo wewe Bwana nitende  utakavyo wewe x 2:

Mashairi;

1. Ee Bwana ninakuinulia nafsi yangu, Ee Mungu wangu nimekutumainia wewe nisiaibike adui zangu wasifurahi kwa kunishinda.

2. Naam wakungojao hawata aibika wataaibika wale watendao uhaini bila sababu.

3. Ee Bwana unijulishe njia zako unifundishe mapito yako.

4. Uniongoze katika kweli yako na kunifundisha


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa