Ingia / Jisajili

Bwana Mungu Amepaa (Katikati Kupaa Kwa Bwana)

Mtunzi: Joseph D. Mkomagu
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph D. Mkomagu

Makundi Nyimbo: Kupaa kwa Bwana

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 10,464 | Umetazamwa mara 16,848

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana Mungu amepaa kwa kelele za shagwe
(Bwana kwa sauti ya baragumu Aleluya) x 2

  1. Enyi watu wote pigeni makofi, mpigieni Mungu kelele kwa sauti ya shangwe.
     
  2. Kwa kuwa Bwana aliye juu, ni mwenye kuogofya ndiye Mfalme wa dunia yote.
     
  3. Mwimbieni Mungu naam imbeni, muimbieni Mfalme wetu naam imbeni kwa akili.

Maoni - Toa Maoni

Raphael T. Lubukilo May 25, 2022
Habari za asubuhi, pole na majukumu. Na hongera kwa kutuletea App hii ya SMN Nina maswali mawili 1. Je ukishapakia wimbo inachukua muda gani watu wengine kuanza kuuona? 2. Kuna wakati nilikuwa najiunga Sasa ikawa inagoma nikaacha Sasa nimekuja kutengeneza upya nikakuta Kuna account yangu nyingine kumbe ilishasajili maana yake nikawa na majina mawili yanayoonekana SMN nilijaribu kutafuta namna ya kufuta ile nyingine lakini nimeshindwa maana yake mpaka Sasa Niko na accounts mbili zenye majina yangu ila majina yametofautiana kidogo kwa maana ya kwamba account ya Kwanza nilitumia initials na jina la tatu lakini hii ya pili nimetumia jina langu na initial Moja TU ya katikati. Nafanyaje Ili kuifuta hiyo ya kwanza

Raphael T. Lubukilo May 25, 2022
Habari za asubuhi, pole na majukumu. Na hongera kwa kutuletea App hii ya SMN Nina maswali mawili 1. Je ukishapakia wimbo inachukua muda gani watu wengine kuanza kuuona? 2. Kuna wakati nilikuwa najiunga Sasa ikawa inagoma nikaacha Sasa nimekuja kutengeneza upya nikakuta Kuna account yangu nyingine kumbe ilishasajili maana yake nikawa na majina mawili yanayoonekana SMN nilijaribu kutafuta namna ya kufuta ile nyingine lakini nimeshindwa maana yake mpaka Sasa Niko na accounts mbili zenye majina yangu ila majina yametofautiana kidogo kwa maana ya kwamba account ya Kwanza nilitumia initials na jina la tatu lakini hii ya pili nimetumia jina langu na initial Moja TU ya katikati. Nafanyaje Ili kuifuta hiyo ya kwanza

Toa Maoni yako hapa