Ingia / Jisajili

Bwana Alitutendea Mambo Makuu

Mtunzi: Eng. Joseph Silvester
> Mfahamu Zaidi Eng. Joseph Silvester
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng. Joseph Silvester

Makundi Nyimbo: Majilio

Umepakiwa na: Eng. Joseph Silvester

Umepakuliwa mara 6 | Umetazamwa mara 1

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 2 ya Majilio Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana alitutendea mambo makuu, tulikuwa tukifurahi X2

1. Bwana alipowarejeza, mateka wa Sayuni, ndipo kinya chetu kilijaa kicheko naulimi wetu kelele za furaha

2. Ndipo waliposema katika mataifa, Bwana alitutendea mabo makuu Tulikuwa tukifurahi.

3. Ee Bwana uwarejeze watu wetu waliofungwa, wapandao kwa machozi watavuna kwakelele za furaha.

4. Ingawa mtu anakwenda akilia, azichukuapo mbegu zakupanda atarudi kwa kelele za furaha aichukuapo miganda yake.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa