Mtunzi: Eng. Joseph Silvester
> Mfahamu Zaidi Eng. Joseph Silvester
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng. Joseph Silvester
Makundi Nyimbo: Majilio
Umepakiwa na: Eng. Joseph Silvester
Umepakuliwa mara 6 | Umetazamwa mara 1
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 2 ya Majilio Mwaka C
Bwana alitutendea mambo makuu, tulikuwa tukifurahi X2
1. Bwana alipowarejeza, mateka wa Sayuni, ndipo kinya chetu kilijaa kicheko naulimi wetu kelele za furaha
2. Ndipo waliposema katika mataifa, Bwana alitutendea mabo makuu Tulikuwa tukifurahi.
3. Ee Bwana uwarejeze watu wetu waliofungwa, wapandao kwa machozi watavuna kwakelele za furaha.
4. Ingawa mtu anakwenda akilia, azichukuapo mbegu zakupanda atarudi kwa kelele za furaha aichukuapo miganda yake.