Mtunzi: Stephano M. Tani
> Mfahamu Zaidi Stephano M. Tani
> Tazama Nyimbo nyingine za Stephano M. Tani
Makundi Nyimbo: Zaburi
Umepakiwa na: MAJALIWA TANI
Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0
Download Nota Download MidiKIITIKIO
Akawanyeshea mana ili wale, akawapa nafaka, nafaka ya mbinguni, akawapa nafaka ya mbinguni
MASHAIRI
1. Mambo hayo tuliyasikia tangu kale nakuyafahamu kwa maana walisema, baba zetu walituambia hatutaficha kwa kizazi chochote.
2.Lakini mawingu aliyaamuru yote akaifungua milango ya mbinguni akawapa nafaka ili wale chakula cha mashujaa alipeleka.