Ingia / Jisajili

Akawanyeshea Mana

Mtunzi: Stephano M. Tani
> Mfahamu Zaidi Stephano M. Tani
> Tazama Nyimbo nyingine za Stephano M. Tani

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: MAJALIWA TANI

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO

Akawanyeshea mana ili wale, akawapa nafaka, nafaka ya mbinguni, akawapa nafaka ya mbinguni

MASHAIRI

1. Mambo hayo tuliyasikia tangu kale nakuyafahamu kwa maana walisema, baba zetu walituambia hatutaficha kwa kizazi chochote.

2.Lakini mawingu aliyaamuru yote akaifungua milango ya mbinguni akawapa nafaka ili wale chakula cha mashujaa alipeleka.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa