Ingia / Jisajili

Joeli H.Kanyika

Mfahamu Joeli H.Kanyika, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Mafinga Parokia ya Ibwanzi

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 1 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Mafinga

Parokia anayofanya utume: Ibwanzi

Namba ya simu: 0745024355

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Masikini huyu aliita Bwana aliita Bwana akasikia×2

1. Nitamuhimidi Bwana kila wakati, sifa zake zi kinywani mwangu daima, katika Bwana nafsi yangu itajisifu, wanyenyekevu wasikie waafurahi.

2. Uso wa Bwana ni Juu ya watenda mabaya, ili aliondoe kumbukumbu lao duniani,Walilia naye Bwana akasikia,akawaponya na tabu zao zote.

3. Bwana yu karibu nao waliovunjika moyo, na waliopondeka roho huwaokoa, Bwana huzikomboa nafsi za watumishi wake, wala hawatahukumiwa wote wamkimbiliao.