Ingia / Jisajili

Frt. Victor Lyimo

Mfahamu Frt. Victor Lyimo, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Moshi Parokia ya Reha

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 3 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Moshi

Parokia anayofanya utume: Reha

Namba ya simu: +255767133752

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Victor M. Lyimo (Victor B. Lucky) Ni Frater wa shirika la Mitume wa Yesu (Apostles of Jesus), Nairobi - Kenya

Safari na Ndoto za Muziki mtakatifu zilianza Mwaka 2018, kwa usaidizi wa Fr. Alderman Mtui AJ, ndani ya Seminary ndogo ya Mitume wa Yesu iliyopo Uru Moshi.

Masomo ya Utunzi wa muziki Mtakatifu na Falsafa niliyapatia ndani ya shirika la mitume wa Yesu, Nairobi - Kenya, kwa usaidizi wa Fr. Petri Assenga AJ.