Mfahamu Castro Muhoza Barnabas, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Bukona Parokia ya Kyebitembe
Idadi ya nyimbo SMN: 2 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: Bukona
Parokia anayofanya utume: Kyebitembe
Namba ya simu: 0653905509
Soma Historia na maelezo yake hapaWasiliana na mtunzi kwa email:
Ndg Castro Muhoza Barnabas alizaliwa tar 22-5-1993 ktk kitongoji Cha kilima Kijiji Cha Kagasha tarafa ya Kimwani Wilaya ya Muleba Mkoa wa Kagera.Alianza kujifunza muziki mnamo mwaka 2022 chini ya Mwl Charles Nzigulah na Kwa sasa Mr Castro anahudumu ktk Parokia ya Kyebitembe Jimbo Katoliki la Bukoba..!! Huo ndo wasifu wa Ndg Castro..!!