Ingia / Jisajili

Castro Muhoza Barnabas

Mfahamu Castro Muhoza Barnabas, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Bukona Parokia ya Kyebitembe

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 2 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Bukona

Parokia anayofanya utume: Kyebitembe

Namba ya simu: 0653905509

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Ndg Castro Muhoza Barnabas alizaliwa tar 22-5-1993 ktk kitongoji Cha kilima Kijiji Cha Kagasha tarafa ya Kimwani Wilaya ya Muleba Mkoa wa Kagera.Alianza kujifunza muziki mnamo mwaka 2022 chini ya Mwl Charles Nzigulah na Kwa sasa Mr Castro anahudumu ktk Parokia ya Kyebitembe Jimbo Katoliki la Bukoba..!! Huo ndo wasifu wa Ndg Castro..!!