Ingia / Jisajili

Mene Tekeli Peresi

Mtunzi: Furaha Mbughi
> Mfahamu Zaidi Furaha Mbughi
> Tazama Nyimbo nyingine za Furaha Mbughi

Makundi Nyimbo: Anthem | Mafundisho / Tafakari | Kristu Mfalme | Watakatifu

Umepakiwa na: Furaha Mbughi

Umepakuliwa mara 1 | Umetazamwa mara 1

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

MENE TEKELI PERESI

[MENE MENE Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha, TEKELI umepimwa kwa mizani nao umeonekana kuwa umepunguka, PERESI ufalume wako umegawanyika nao wamepewa Waamedi na Waajemi ] x2

1. Belishaza mfalme, alifanya karamu, akavitumia vyombo vya kutoka hekaluni; Ukutani akaona viganja vya mikono vikiandika maneno yaliyosomeka hivi:

2. Tunapoyasoma haya tunakumbushwa yakuwa Mungu wetu anapaswa kuheshimiwa daima; Hekaluni ni mahali, mahali patakatifu, yatupasa kuheshimu, mungu wetu atukuzwe.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa