Mfahamu Shimbo Pastory, C.S.Sp., mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Mbeya Parokia ya Parokia Teule ya Mt. Clara, Ituha
Idadi ya nyimbo SMN: 2 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: Mbeya
Parokia anayofanya utume: Parokia Teule ya Mt. Clara, Ituha
Namba ya simu: +639951661979
Soma Historia na maelezo yake hapaWasiliana na mtunzi kwa email:
Shimbo Pastory, C.S.Sp. ni frateri wa Shirika la Roho Mtakatifu (Spiritans), kutoka Parokia Teule ya Mt. Clara, Ituha. Kwa sasa anasome Theolojia huko Loyola School of Theology, Chuo Kikuu cha Ateneo de Manila, nchini Ufilipino.