Ingia / Jisajili

Samwel B. Shitungulu

Mfahamu Samwel B. Shitungulu, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Geita Parokia ya Mt. Joseph Mfanyakazi - Katoro

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 6 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Geita

Parokia anayofanya utume: Mt. Joseph Mfanyakazi - Katoro

Namba ya simu: 0764 476 585

Soma Historia na maelezo yake hapa

Historia / Maelezo

Kuzaliwa: 1984 Elimu: Msingi:-1994 - 2000 S/M Ilyamchele Chato - Geita. Sekondari:- 2001 - 2004 Nyakato Sec. Bukoba - Kagera Chuo cha Ualimu Katoke kilichopo Wilaya ya Muleba - Kagera 2006 - 2008. Chuo cha Sanaa na Utamaduni Bagamoyo "TUSUBA" 2016 hadi 2019 Diploma in Performing ART na Muziki. KAZI:- Mwalimu Shule ya Msingi. Utume:- Ni mwalimu wa Kwaya na Mwimbaji