Ingia / Jisajili

Paul Mbaigwa

Mfahamu Paul Mbaigwa, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Dodoma Parokia ya Mpwapwa

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 3 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Dodoma

Parokia anayofanya utume: Mpwapwa

Namba ya simu: 0694262022

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Historiayangu: Paul Mbaigwa, nilizaliwa mnamo tarehe 31.05.1987. katika kijiji cha Nghambi. kata ya Nghambi wilaya ya Mpwapwa mkoawa Dodoma. ELIMU: nilijiungana elimu ya msingi nghambi mwaka 1998, nakuhitimu mwaka 2005. Baadaye mwaka 2006. nilijiungana elimu yasekondari Chunyukatika kataya chunyu,wilayaya mpwapwa,mkoawa Dodoma. nakuhitimu mwaka 2009.pia mwaka2010-2011, nilijitoleakufundisha shuleya msingiKAZANIA,KatayaNGHAMBI.Nabadaye MSAMALO,MGUNGA. tokea mwaka 2012,nilijiunga na utume wauimbaji.Mwaka 2017,niliteuliwa kuwa KATIBU BARAZALA KATA YANGHAMBI. ila utume naendelea nao kilasiku.