Ingia / Jisajili

Leonard N. Stephano

Mfahamu Leonard N. Stephano, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Dar es Salaam Parokia ya Epiphania Kijichi

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 5 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Dar es Salaam

Parokia anayofanya utume: Epiphania Kijichi

Namba ya simu: 0782988326

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Mimi naitwa Leonard N. Stephano ni mwalimu wa kwaya ya Familia Takatifu kigango cha mama Theresia wa Calcutha parokia ya Epiphania kijichi Jimbo Kuu katoliki la Dar es Salaam.