Ingia / Jisajili

Kasimili Sadock Ruzino

Mfahamu Kasimili Sadock Ruzino, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Dar es Salaam Parokia ya Ununio

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 27 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Dar es Salaam

Parokia anayofanya utume: Ununio

Namba ya simu: 0759106755

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Naitwa Mwl Kasimili Sadock Ruzino nimezaliwa tar 09-09-1991 wilayani Kasulu mkoani Kigoma Kwa Sasa naishi Dar es Salaam Ni mwalimu wa kwaya na nje ya muziki Mtakatifu Ni mjasiriamali.