Ingia / Jisajili

KALINGA BFM

Mfahamu KALINGA BFM, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Jimbo kuu katoliki Arusha Parokia ya Parokia ya kikunde

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 5 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Jimbo kuu katoliki Arusha

Parokia anayofanya utume: Parokia ya kikunde

Namba ya simu: 0784980680

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Berard Fabian Kalinga amezaliwa kata ya Maboga wilaya ya Iringa vijijini mkoa wa Iringa. Amesoma shule ya msingi Mapinduzi iliyopo wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro na baadaye kujiunga na kidato Cha kwanza katika shule ya sekondari Njombe. Baadaye akajiunga na kidato Cha Tano katika shule ya sekondari Highlands mkoani Iringa. Baada ya happy alijiunga na chuo Cha Ardhi Tabora na baadaye chuo Cha walimu Ifunda na hatimaye chuo kikuu Cha Theofil Kisanji mkoani Mbeya.