Ingia / Jisajili

Gosbert Damazo

Mfahamu Gosbert Damazo, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la JIMBO KUU DODOMA Parokia ya JOHN BOSCO -MIYUJI MBWANGA

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 26 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: JIMBO KUU DODOMA

Parokia anayofanya utume: JOHN BOSCO -MIYUJI MBWANGA

Namba ya simu: (+255) 782839982

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Ni mwimbaji wa kwaya za kanisa katoliki kwa miaka mingi. Alipata elimu ya nota za muziki wa nyimbo za kanisa kupitia taasisi za Muziki za Tanzania (Music conservatoire of Tanzania) na Uingereza(Assosiated Board of Music). Aliendelea kupata uzoefu wa kuimba nota kupitia kwa wanamuziki wakongwe aliokuwa akiimba nao kama vile Elias Kalluh, Fidelis Kashumba, Felician Nyundo.